Posts

Showing posts from December, 2024

FAHAMU MTI WA MSAMBILA

Image
Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu wale wanaotaka dawa hebu muwasiliane nami mpate dawa za nguvu za mvuto wa ajabu,nguvu za kiume, uzazi, kisukari,madonda ya tumbo,dawa za Kinga n.k  πŸ‘‰Mti huo pichani unaitwa  Msambila  ni mti wa nguvu kabisa una kazi nyingi sana katika tiba ikiwemo,  1.Kuondosha uchawi wa kulishwa  tumboni, 2.Tiba ya mtoto aliye bemendwa, 3.Tiba ya mama aliyehangaika miaka na miaka kwa ajili ya ujauzito 4.Hupandisha CD4 haraka πŸ‘‰Ikiwa kuna mtu anasumbuliwa na uzazi chukua mzizi ya huu mti wa Msambila,Mfubata,Mnengonengo,Mwembe pori,Mpilipili/mngando,Msolasi,mbuyu,mshenene,Mtalali twanga kwa pamoja,kwa mwenye kusumbuliwa na uzazi atakunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni haitochukua mwezi mmoja atashika ujauzito. ✍️Kwa aliye rishwa uchawi chukua πŸ‘‰ mizizi ya MsambilaπŸ‘‰ Mnengonengo πŸ‘‰Mfubata  mchemshie mpe anywe hakika atatapika ama kuharisha. ✍️Kwa mtoto aliye bemendwa chukua mizizi yake, mizizi ya mfubata, mizizi ya Mnengonengo loweka muogeshe na mpe anywe kidogo ...

DAWA YA MVUTO

Image
*Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu ndugu zangu, doctor wenu nilikuwa bize kutokana na masuala ya kikazi kwa muda huu nimeona niwape faida ya huo mti hapo pichani.Wengi waliniomba picha ya mti huu walikuwa hawaujui Sasa hebu πŸ‘‰ chukueni faida hakika itawafaa katika maisha yenu.Kuna faida ya kujua miti kwa kuwa miti ni mali na ukijua mti na uchimbaji wake itakupa nafasi ya kujiamini katika kazi zako na utapata dawa Safi na za kuaminika kwa kuwa umechimba mwenyewe na kwa kufuata masharti ya uchimbaji.Jamani uganga πŸ‘‰ una taratibu zake hasa katika uchimbaji wa miti sio kila mti unachimbwa tu Kuna miti mingine hutakiwi kutoa pumzi wakati wa kuchimba pumzi ikitoka itabidi utatoka mahala hapo tena haraka ndipo urudi ujaribu tena ukiweza ndipo uchimbe,miti mingine huchimbwa mtu akiwa uchi kabisa wa mnyama,mingine huchimbwa Mara tatu kwa siku asubuhi,jua la saa saba na jioni ndio ukamilifu wake.Natoa picha halisi ya uganga πŸ‘‰ hususani kwa wale wakununua dawa wanakosa mengi.Chimba mti huu...

DAWA ZENYE KUKUPA UTAJIRI

Image
Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu niwape faida bila choyo chukua πŸ‘‰ hii utakuja kunikumbuka hata kwa kuniombea dua. πŸ‘‰Nyota yako imeshuka,Mambo yako yekuwa ovyo na unataka kupanda kwa idhn ya muumba kama mwanzo,ama kwa yule ambaye anahitaji kufanikisha mambo yake na aone ajabu ndani yake. Chukua πŸ‘‰ italigula dawa inayoingia katika Mambo mengi hyo inaingia katika πŸ‘‰ Kutoa mikosi na kufungua Mambo yaliyofungwa lakini pia huzipa dawa za nyota nguvu.Ukipata italigula πŸ‘‰ changanya na mwanukuro πŸ‘‰ weka katika mkono wako wa kushoto dawa zako na ukae karibu na Moto πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ sema maneno haya Mimi fulani ibn fulani(taja majina yako) kuanzia leo naomba nyota yangu ifunguke ikiwa imefungwa,ipande ikiwa imeshuka naomba nyota ya utajiri kuanzia Sasa hivi,vyote vinavyoishi kwa binadamu viwe vipando Kama magari n.k,na vinavyo fugwa Kama n'gombe na mali zingine Kama nyumba,duka kuanzia mikosi yote naiteketeza katika Moto πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ utasugua mikono yako katika Moto πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ baada ya k...

NJIA YA KUFUNGUA MAMBO YAKO

Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu Kama kawaida siachi kuwapa faida natoa kwa moyo wote wale wenye kusumbuliwa na vifungo vimeathiri mambo yao iwe ni biashara, mahusiano n.k ✍️Kuna watu wanafungua biashara halafu wanaishia kufunga kutokana na kukutana na vihoja mbalimbali ama kukosa wateja katika biashara zao. Unakuta mtu anafanya biashara ya mtaji wa milioni tano kuanzia asubuhi mpaka jioni anauza alfu 2 au asiuze kabisa.Mwingine anafanya kazi lakini haoni pesa katika kazi yake hana maendeleo yoyote bali nikuhangaika na kutumia juhudi nyingi lakini wapi. Kuna wengine wapo kwenye mahusiano lakini mahusiano yao yamekuwa hayaeleweki ahadi nyingi hakuna ukamilifu wake,kama ni kuolewa itakuwa maneno tu hakuna vitendo juu ya hilo. Kuna watu wanahangaika kutafuta kazi kila siku lakini imekuwa hadithi hakuna kufanikisha katika hilo. Kuna watu wamehangaika sana katika maisha yao juu ya kutokana na mabalaa waliyokuwa nayo lakini hakuna mafanikio yoyote. πŸ‘‰Leo nakupa faida kubwa utakuja kuni...

NAMNA YA KUTOA VIFUNGO VYA KICHAWI

Image
TIBA KWA ALIYE FUNGWA KICHAWI  Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu niwashukuru nyote mnaoendelea kufuatilia masomo yangu na mrejesho wa kutosha juu ya kile nachokitoa kupitia page zangu mbalimbali,Instagram, YouTube na Tiktok alah awalipe πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™.Leo tuangalie njia mujarabu ya kumfungua aliye kuwa na vifungo kwanza,yatupasa tujue dalili ya mtu aliye kuwa na vifungo.Zifuatazo ni dalili za mtu aliyekuwa na vifungo  1.Kwanza ni kukosa matumaini katika kile anacho kifanya na kujawa na hofu 2.Kukosa maelewano na watu ikiwemo mke/mume na kuwa na hasira za karibu 3.Mambo yake nusunusu hayakamiliki na ahadi zisizo timia 4.Kipato kuwa Cha mashaka na kikipatikana huisha haraka 5.Kukosa kazi kila anapoenda kuomba na ana sifa juu ya kazi hizo 6.Kushindwa kupata ndoa na kutodumu katika mahusiano 7.Kukosa wateja katika biashara hatimaye hufunga kibanda 8.Kushindwa kukumbuka kile anacho kiota na hakumbuki kabisa 9.Kuwa na mawazo na kukosa amani muda wote 10.Kupata maumivu ya mwili na yenye kuhama...