DAWA YA MVUTO
*Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu ndugu zangu, doctor wenu nilikuwa bize kutokana na masuala ya kikazi kwa muda huu nimeona niwape faida ya huo mti hapo pichani.Wengi waliniomba picha ya mti huu walikuwa hawaujui Sasa hebu 👉 chukueni faida hakika itawafaa katika maisha yenu.Kuna faida ya kujua miti kwa kuwa miti ni mali na ukijua mti na uchimbaji wake itakupa nafasi ya kujiamini katika kazi zako na utapata dawa Safi na za kuaminika kwa kuwa umechimba mwenyewe na kwa kufuata masharti ya uchimbaji.Jamani uganga 👉 una taratibu zake hasa katika uchimbaji wa miti sio kila mti unachimbwa tu Kuna miti mingine hutakiwi kutoa pumzi wakati wa kuchimba pumzi ikitoka itabidi utatoka mahala hapo tena haraka ndipo urudi ujaribu tena ukiweza ndipo uchimbe,miti mingine huchimbwa mtu akiwa uchi kabisa wa mnyama,mingine huchimbwa Mara tatu kwa siku asubuhi,jua la saa saba na jioni ndio ukamilifu wake.Natoa picha halisi ya uganga 👉 hususani kwa wale wakununua dawa wanakosa mengi.Chimba mti huu 👉 wa nkanya 👉 mizizi yake***Baada ya kuchimba ikaushe itwange pata unga 👉 wake ikiwa unahitaji kupata ndioa kwa wale waliohangaika muda mrefu bila ndoa chukua 👉 bua la mtama weka maji katika beseni ukiweka na hyo dawa pekecha mpaka uone povu likitoka povu nenda kaoge hakika utapata majibu mazuri.
👉Ikiwa unataka kuzima maneno fitina hasadi kesi utaoga dawa hyo utaona ajabu.
👉Ikiwa unataka kuwa na mvuto wa nguvu kabisa chukua 👉 Nkanya 👉 shepashepa 👉 Ikungula 👉 msulula tumia kuoga asubuhi na jioni hakika utaona ajabu ndani yake.
👉Kwa wale ambao biashara zao zimefungwa,kilinge hakina watu chukua 👉 italigula 👉 Nkanya changanya tumia kumwagamwaga katika biashara yako au eneo lako la kazi hakika utaona ajabu ndani yake.
Drsebuse tiba asili
0765840681
0763314206
0684150612
Watsapp number *+255657929022* .**
Comments
Post a Comment