NJIA YA KUFUNGUA MAMBO YAKO
Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu Kama kawaida siachi kuwapa faida natoa kwa moyo wote wale wenye kusumbuliwa na vifungo vimeathiri mambo yao iwe ni biashara, mahusiano n.k
✍️Kuna watu wanafungua biashara halafu wanaishia kufunga kutokana na kukutana na vihoja mbalimbali ama kukosa wateja katika biashara zao.
Unakuta mtu anafanya biashara ya mtaji wa milioni tano kuanzia asubuhi mpaka jioni anauza alfu 2 au asiuze kabisa.Mwingine anafanya kazi lakini haoni pesa katika kazi yake hana maendeleo yoyote bali nikuhangaika na kutumia juhudi nyingi lakini wapi.
Kuna wengine wapo kwenye mahusiano lakini mahusiano yao yamekuwa hayaeleweki ahadi nyingi hakuna ukamilifu wake,kama ni kuolewa itakuwa maneno tu hakuna vitendo juu ya hilo.
Kuna watu wanahangaika kutafuta kazi kila siku lakini imekuwa hadithi hakuna kufanikisha katika hilo.
Kuna watu wamehangaika sana katika maisha yao juu ya kutokana na mabalaa waliyokuwa nayo lakini hakuna mafanikio yoyote.
👉Leo nakupa faida kubwa utakuja kunikumbuka hapa hakuna maneno mujarabu kabisa fanya ujione mwenyewe usinunue dawa kachimbe mti mwenyewe tatizo la wengi wanapata dawa hawajui dawa hizo zimeandaliwa vipi ?chukua hii itakufaa maishani mwako na umpe mwingine nakupa bila kificho.
👉Tafuta mti unaoitwa mshepashepa ulijiviringisha ukajikunja na kutokea mahala pengine utachimba mizizi yake,Chukua 👉 mti unaitwa ulalo wa mbuli(mbuzi wanapenda Sana majani ya mti huu ndio asili ya jina Hilo)👉Utachimba mizizi ya mti wa mwatya,na pia tafuta mizizi ya mti unaitwa malola baada ya kupata mizizi ya miti hiyo utainguza na kupata unga wake.
Baada ya hapa chukua 👉 dawa hiyo ikiwa unakifungo Cha mwili utaoga asubuhi kabla ya juu kuchomoza na jioni kwa muda wa siku 7 hakika utaona ajabu kubwa sana.Ikiwa biashara yako imekuwa na kiza hakuna wateja kabisa mpaka unataka kufunga kibanda changanya na maji mwagamwaga katika biashara yako kwa kweli ndugu yangu utaona matokeo mazuri ni moja Kati ya madawa makubwa yakuaminika nimeonelea nikupe wewe 👉 unaeteswa na umehangaika kila dawa hupati matokeo,pia kwa wale wanaotaka kupata kazi,ndoa na Jambo lolote waoge dawa hiyo watapata kwa uwezo wa mwenyezimungu.
Drsebuse tiba asili
0763314206
0765840681
0684150612
Watsapp +255657929022.
Comments
Post a Comment