Posts

Showing posts from November, 2024

KASELA NI DAWA YA UTAJIRI

MAAJABU YA KASELA ILIYOKAMILIKA -------------------------------------------------------- ✍️ASALAAM ALYKUM WARAHMATULAH WABARAKATU NDUGU ZANGU DAWA HIZI ZINA NGUVU NA UTAONA AJABU KUBWA KUTOKANA NA DAWA HIYO IMEANDALIWA IPASAVYO. ✍️NDUGU ZANGU KASELA NI MOJA YA DAWA KUBWA KATIKA MVUTO ILA YATEGEMEA JE HIYO DAWA UMEIPATA IMEKAMILIKA?IKIWA ITAKUWA NI YENYE KUKAMILIKA NDUGU YANGU KASELA INA VUTA SANA UKICHOMA UTAONA AJABU KWA JAMBO LOLOTE IWE NI MVUTO WA MAPENZI KAZI AU BIASHARA UTAONA AJABU,HATA KAMA MTU YUPO CHINA UKACHOMA KWA KUMUITA HAKIKA ATAKUJA HARAKA ILA SHARTI UIPATE KASELA ILIYOCHANGANYWA NA VIZIMBA VTOTE NA IKAKAMILIKA NA KUWA DAWA KAMILI. ✍️SIKU ZOTE DAWA ILI IFANYE KAZI LAZIMA IKAMILIKE NDIPO UTAONA MATOKEO MAZURI PALE UTAKAPO ITUMIA DAWA HIYO,WENGI WANAPEWA DAWA ZISIZO KAMILIKA NDIO MAANA HULALAMIKA WANAPO SHINDWA KUPATA MATOKEO MAZURI.KASELA IKICHANGANYWA VIZURI 1.HUKUPA PESA 2.MVUTO WA AJABU 3.HULETA WATU KATIKA BIASHARA 4.HUMUITA ALIYE MBALI NA AKAJA HARAKA 5.HUVUTA...

DAWA YA KUKUPA UTAJIRI

FAIDA YA DAWA YA MWANUKURO Jamani tumieni dawa ya mwanukuro mfanikiwe katika mambo yenu . ✍️Chukueni faida hii ndugu zangu,kwa kweli miti ipo na ikiwa unajua Siri zake, na faida zake ukaamua kuzifanyia kazi utaona ajabu ndani yake.Kuna watu wanalalamika kuwa wanatumia dawa lakini hawaoni matokeo mazuri ikiwa ni hivyo basi,wajichunguze yawezekana wakawa na vifungo ndivyo vinavyo fanya dawa hazikamati, ni vizuri kupata ushauri kabla ya kutumia dawa.Vilevile Kuna dawa ambazo zimeandaliwa katika mazingira yasiyofuata taratibu zake,nasema hivi na maanisha kuwa kila mti una utaratibu wake hususani katika uchimbaji wake,Sasa wakuta mtu baada ya kujua picha ya mti atachimba tu bila kufuata masharti ya uchimbaji.Kwa namna hiyo dawa haitokuwa na nguvu kwa kuwa hukufuata taratibu za uchimbaji.Ndio maana ni vema kujua miti na taratibu zake hakika hutojuta katika matumizi ya dawa zako utaona ajabu kubwa jamani miti ni utajiri,mtu akikupa elimu ya miti tena kwa uwazi hebu fatilia usizalau ili uone...
Image
NJIA YA KUWAFUNGA WABAYA WAKO  Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu msione kimya inatokana na uzito wa majukumu nilionayo inaniwia vigumu kuposti masomo kila wakati ila unapopatikana japo kidogo nakutumia kutoa masomo.Ukitaka kuwafunga wabaya wako wasikufuatilie hata Kama Kuna mtu anakufuatilia kila unachofanya ama una kesi nae unataka umfunge. Chukua 👉yai viza✍️andika aya ya 65 katika Surat YASINI mwishoni ikifuatiwa na jina au majina ya wabaya wako. Baada ya hapo utachukua 👉1.Lugobi(luchacha)  2.Unga wa ngoda kalomo Utaenda kaburini ukiwa na 👉chungu.Ukifika utasema enyi mlio lala hapa matajiri kwa masikini ulikuwa mkitamba ila mmesahaulika ikiwa una kesi utasema nataka Fulani na Fulani(majina ya ulio na kesi nao) wanisahau Kama maiti waliolala hapa. Kisha utasema wewe👉 yai viza hauna mlango ulipata balaa wengine wote walitotolewa ukabaki wewe nimewafunga Fulani na Fulani (taja majina ya wabaya wako) wasipate njia ya kupita hujulikqnk ni kuku wa rangi gani wewe wakike ama wa kiu...

FUNGUA MAMBO YAKO UFANIKIWE

Image
KUFUNGUA MAMBO YAKO HARAKA Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu watu wengi Kuna muda wanapambana sana katika kujikwamua kimaisha na mungu huwa nyoshea njia katika kazi zao lakini,kuna muda gafla Mambo huharibika na kujikuta na kuwa na wakati mgumu katika shughuli zao. ✍️Wengine nyota zao zimekuwa za kusuasua mara zipande mara zishuke ,kupata pesa nyingi na hazionekani pesa hizo,kukosa matumaini na kukata tamaa ya maisha,mifugo kufakufa bila sababu za msingi,kupeteza kazi,Kukosana kila wakati na mwenza wako,kushindwa kuoa au kuolewa,kukosa msaada na kupata lawama mpaka kwa wazazi, ndugu na watu wa karibu,kukosa mwelekeo wa maisha na kufanya mambo kinyume na malengo yako pesa ikiisha unangia katika majuto,mipango kuvurugika kila wakati pesa ikipatikana matatizo huingia ikiisha pesa hakuna matatizo tena,kupata mavuno kidogo hali yakuwa umezingati taratibu zote za kilimo,kuzulumiwa mara kwa mara na kutolipwa na unaowakopesha,kukosa amani na kuwa na hofu muda wote. 🖕Hizo ni dalili za kuf...

UCHAWI NA TIBA YAKE

Dalili za kuwa na uchawi na majini Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo. Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa...

DAWA YA KUFUNGUA MAMBO

Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu nimekua kimya kutokana na majukumu kuwa mengi. Niwape faida ndugu zangu kwa wale wanaotaka kufungua mambo yao na wafanikiwe katika kile wanachokifanya kwa uwezo wa mwenyezimungu s.w. Chukua dawa ya nguvu inaitwa nditima au wengine huita nyahenga tumia kuoga asubuhi kabla ya jua kuchomoza na jioni kabla ya jua kuzama ukiweka nia. Ewe mwenyezimungu nakuomba kupitia dawa yako ya nditima au nyahenga Mambo yangu ya nyooke na nuru iyangaze katika maisha yangu Kama nuru ya jua hili litakalo chomoza naomba utajiri,mji,gari, nyumba na vyote vije kwangu utongezea na mengine unayojua ikifika jioni utaomba tena kwa kusema mabaya yote yazame Kama jua hili linavyo Zama na kila nuksi,na mabalaa yote yazame Mambo yangu ya nyooke na nifanikiwe katika shughuli zangu. Hakika utaona ajabu ndani yake ni dawa nzuri sana kwa kufungua Mambo. Drsebuse tiba asili 0765840681 0684150612 0763314206 Watsapp +255657929022.

DAWA YA KUMKAMATA MCHAWI

Image
Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu.Kumekuwa na shida kwa watu wengi kusumbuliwa na wachawi na kujikuta wanashindwa kuishi kwa amani na kupoteza mwelekeo wa maisha.leo nimewaletea dawa kiboko au tarasimu la kumshika mchawi.Tarasimu hili linapatikana katika kitabu chetu Cha elimu sharifu ambacho unaweza kukipata kwa njia ya kawaida au kwa PDF K kina Mambo makubwa na hakika utapata kujifunza Mambo mengi na namna ya kutatua shida na changamoto unazo kumbana nazo katika maisha.pia ndugu msomaji ikiwa unahitaji dawa mbalimbali na visimo utapatiwa dawa na utatibiwa kokote ulipo.Kwanza tuone dalili za mtu aliyefanyiwa uchawi. Dalili za kuwa na uchawi na majini Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo. Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la ...

TIBA YA MWANAMKE ASIYEOLEWA

Asalaam alykum kwa mwanamke anayetaka kuolewa andika Aya hii iliyoko katika suratul yusuph kwa faida ni Aya ya 31 utaandika katika karatasi nyeupe isiyokuwa na mistari tumia zafarani, miski,na maji ya uaridi. بسم الله الرحمن الرحيم فلما راينه اكبرنه وقطعنه ايديهن utamalizia aya hiyo utaiandika mara tatu kisha baada ya hapo utaandika Aya hii بسم الله الرحمن الرحيم لقد جاءكم رسول من أنفسكم عزيز عليه utamalizia mpaka mwisho kwa faida hiyo ni Aya ya 128 katika suratul tawba. 👉Baada ya hapo utaandika Aya hii بسم الله الرحمن الرحيم والقيت عليك محبة مني ولتصنع على عينى kwa faida hiyo ni Aya ya 39 katika suratul twaha ,kisha utaandika jina hili بدوح Mara 21 Kisha utaandika Aya hii mara tatu سلام على ال ياسين Kisha utaandika Aya hii لقد شهات العيون لقد شهات العيون لقد شهات العيون إلى الحي القيوم ولا حول ولا قوة الا با الله العلي العظيم baada ya hapo atatumia kuoga na kupaka kwa muda wa siku 7 kwa uwezo wa mwenyezimungu atapata ndoa.Mambo ya kuzingatia uwe Safi wakati wa kuandika,na ...