TIBA YA MWANAMKE ASIYEOLEWA
Asalaam alykum kwa mwanamke anayetaka kuolewa andika Aya hii iliyoko katika suratul yusuph kwa faida ni Aya ya 31 utaandika katika karatasi nyeupe isiyokuwa na mistari tumia zafarani, miski,na maji ya uaridi. بسم الله الرحمن الرحيم فلما راينه اكبرنه وقطعنه ايديهن utamalizia aya hiyo utaiandika mara tatu kisha baada ya hapo utaandika Aya hii بسم الله الرحمن الرحيم لقد جاءكم رسول من أنفسكم عزيز عليه utamalizia mpaka mwisho kwa faida hiyo ni Aya ya 128 katika suratul tawba.
👉Baada ya hapo utaandika Aya hii بسم الله الرحمن الرحيم والقيت عليك محبة مني ولتصنع على عينى kwa faida hiyo ni Aya ya 39 katika suratul twaha ,kisha utaandika jina hili بدوح Mara 21 Kisha utaandika Aya hii mara tatu سلام على ال ياسين Kisha utaandika Aya hii لقد شهات العيون لقد شهات العيون لقد شهات العيون إلى الحي القيوم ولا حول ولا قوة الا با الله العلي العظيم baada ya hapo atatumia kuoga na kupaka kwa muda wa siku 7 kwa uwezo wa mwenyezimungu atapata ndoa.Mambo ya kuzingatia uwe Safi wakati wa kuandika,na iwe siku ya Alhamisi masaa mazuri,kwa idhn ya muumba utapata matokeo mazuri.
👉Kwa dua mbalimbali na dawa nipigie simu 0684150612 0763314206 watsapp number +255657929022.
Comments
Post a Comment