NJIA YA KUWAFUNGA WABAYA WAKO 
Asalaam alykum warahmatulah wabarakatu msione kimya inatokana na uzito wa majukumu nilionayo inaniwia vigumu kuposti masomo kila wakati ila unapopatikana japo kidogo nakutumia kutoa masomo.Ukitaka kuwafunga wabaya wako wasikufuatilie hata Kama Kuna mtu anakufuatilia kila unachofanya ama una kesi nae unataka umfunge.
Chukua 👉yai viza✍️andika aya ya 65 katika Surat YASINI mwishoni ikifuatiwa na jina au majina ya wabaya wako.
Baada ya hapo utachukua 👉1.Lugobi(luchacha) 
2.Unga wa ngoda kalomo
Utaenda kaburini ukiwa na 👉chungu.Ukifika utasema enyi mlio lala hapa matajiri kwa masikini ulikuwa mkitamba ila mmesahaulika ikiwa una kesi utasema nataka Fulani na Fulani(majina ya ulio na kesi nao) wanisahau Kama maiti waliolala hapa.
Kisha utasema wewe👉 yai viza hauna mlango ulipata balaa wengine wote walitotolewa ukabaki wewe nimewafunga Fulani na Fulani (taja majina ya wabaya wako) wasipate njia ya kupita hujulikqnk ni kuku wa rangi gani wewe wakike ama wa kiume,mweupe ama mweusi.
Utachukua luchacha unaizungushia katika yai 👉 Kisha weka mkome au ngonda kalomo 👉 kwa kumwagia yai lako lengo kuwa komesha maadui zako na kuwafunga.Baada ya hapo chimba shimo Kisha utachukua 👉 yai lako lilozungushiwa luchacha na ngonda kalomo 👉 utaweka ndani ya shimo ikifuatiwa na chungu ukifunika yani weka kwa kukifunika lengo kuwafunga wabaya na kuwafunika utasema kabisa na wafunika wabaya wote kuanzia leo wasinifuatilie utataja majina yao,Kisha utachukua 👉 dawa ya mkome na kuzungushia katika chungu ulichokifunika baada ya hapo utakikalia chungu kwa makalio Mara tatu na ufukie ukimaliza utaondoka bila kugeuka nyuma hakika yatawakuta makubwa maadui zako.
Drsebuse   
0763314206  
0684150612
0765840681 Watsapp number +255657929022.

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya mti wa mjafari/mlungu

Tarasimu ya kuvuta pesa

Tarasimu ya mahaba