dawa ya kuvuta pesa na utajiri
Asalaam alykum ndugu zangu kumekuwa na shida mbalimbali kutokana na wengi kutaka kupata mafanikio.Hali hii imechangiwa na ugumu wa maisha hivyo kupelekea watu wengi kutafuta njia ambazo zitawapa utajiri tena wa haraka bila kujua njia hizo zinaweza kuleta madhara kwao,kwa wakati huo kutokana wanashida hushawiahika baada ya kuona wenzao wamefanikiwa na wao bado wako nyuma kimaisha nakutafuta njia za kujinasua katika umasikini lakini pasipo na kujali Kama njia hizo zina madhara gani kwa baadae nakujikuta wanaingia katika utajili wa masharti na kutoa kafara ya watu na huingia katika majuto nakujilaumu kwa hatua walizozichukua.Hivyo nmeonelea nitoe somo lenye manufaa na faida hususani kwa wale wanaotaka kupata Mali kwa njia za halali bila masharti yoyote.Unaweza kumuomba mwenyezimungu kwa kusoma suratul waqiah kila Mara hasa baada ya swala na utafanya dhikri kwa kutaja majina haya yarazaku ya matinu yazal kuwatil matinu uruzukuni fanya hivyo mara100 Kisha utasema subuhanakainn kuntu minadhw...

Comments
Post a Comment